Kutoka BBA: Feza apeta, Beverly na Angelo wavunja amri ya sita

Jumapili ya jana ilikuwa nzuri kwa Watanzania baada ya mshiriki aliyebaki katika jumba la Big brother Feza Kessy kubaki salama baada ya kuwa nominated huku boydfriend wake Mbotswana Oneil akiaga shindano.
Oneil akiwa IK
Feza
Jana jumapili alitoka mshiriki mmoja tu na si wawili kama ilivyozoeleka.Hivi ndivyo Africa ilivyopiga kura..
Angola: Bimp
Botswana: Oneal
Ghana: Bimp
Kenya: Feza
Ethiopia: Bimp
Malawi: Bimp
Namibia: Bimp
Nigeria: Bimp
South Africa: Oneal
Sierra Leone: Feza
Tanzania: Feza
Uganda: Bimp
Zambia: Bimp
Zimbabwe: Bimp
Rest of Africa: Bimp

Jumla Bimp = 10, Feza = 3, Oneal = 2. (Total: 15 Votes)

Kwa upande mwingine kijana kutoka Afrika kusini Angelo na mwanadada Beverly kutoka nchini Nigeria wamevunja amri ya sita chumbani weekend hii iliyoisha baada ya kufanya hivyo bafuni. Dowload clip hapa   http://www1.datafilehost.com/d/f9d29d1b

Pamoja na kuwa na mahusiano na Beverly mjengoni Angelo ana girlfriend amabae ni mwanamitindo pia nchini Africa kusini anayeitwa Candice Arends.Ni mengi yanaendelea kutokea katika jumba la Big brother endelea kutembelea Mamu Africa blog kwa updates mbalimbali.
Angelo na Candice
Candice




0 Maoni:

Toa Maoni