PICHA: Huddah,Nando,Bimp,Denzel na Hakeem tayari kushuhudia fainali za BBA The Chase

Hatimaye muda na wakati umewadia wa kushuhudia fainali za shindano la BBA The chase ikiwa yamesalia masaa machache tu na tayari baadhi ya washiriki waliokwishatoka wameshatua Afrika Kusini kwa ajili ya kushuhudia fainali hizo akiwemo Huddah Monroe (Kenya), Nando (Tanzania),Bimp (Ethiopia) Denzel (Uganda) na Hakeem (Zimbabwe).

Cheki baadhi ya picha alizopost Huddah Monroe katika ukurasa wake wa Instagram
Picha ya juu Huddah akiwa na Bimp na Nando na chini akiwa na Hakeem
Huddah na Denzel
Pamoja na mengine fainali hiyonitapambwa na burudani ambapo mwanadada Keko kutoka Uganda atapamba stage,Ice Prince na R2bees kutoka Ghana wadondosha burudani pia.
Keko
Ice Prince
R2Bees
Kutoka Times Fm Allen Mushi na aliyekuwa mshiriki wa BBA Star game Julio wamechaguliwa kuiwakilisha Tanzania katika fainali hizo kesho.Cheki video chini ya Allen Mushi akizungumza.
                    
                      

0 Maoni:

Toa Maoni