Mkurugenzi wa Times Fm Rehure Nyaulawa amesema wamejitolea pia kuwalipia kodi ya pango kwenye nyumba wanayoishi kama walivyowasilisha maombi ya kuisha kwa pango na kuiomba jamii kuendelea kukisaidia kituo hicho na vituo vingine katika mahitaji mbalimbali.
Naye mkurugenzi wa kituo hicho cha Hidaya Rashid Hamis ameishukuru Times fm kwa kujitolea kukisaidia kituo hicho kwa ni kinakabiliwa na changamoto mbalimbali.
![]() |
| Watoto wa Hidaya |
![]() |
| Ummy ,Sandy B na Neema |
![]() |
| Mie na Dida The Rocker |
![]() |
| Dj KU, Sinda King & Raheem the Prince |
![]() |
| Jors Bless, Dj R Guy & One b |
![]() |
| Fadhili Haule & Ezden The Rocker |
| Vijana waTimes fm |
| Dereva wa Times fm Baba Kefa |
| Captain G Habash |
| Ibra,Ezden & Fadhili |
| Kutoka kushoto Natasha,Mie,Ummy & Dida |
| Sandy B, Mie, Dida & Ummy |








mashaallah mmependeza sana nawakubali nyie ni majembe
ReplyDelete