Blogger ajipiga picha uchi na kutupia mtandaoni!

Mwanadada aliyewahi kutengeneza kichwa cha habari gazetini akidai kubakwa na mbunge wa CHADEMA mheshimiwa Godbless Lema ambaye ni blogger pia Flora Lyimo a.k.a Mbuta Nanga ametengeneza kichwa cha  habari kwa mara nyingine tena baada ya kujipiga picha za uchi na kutupia kwenye blog yake.
 Baada ya kutumia picha hizi bi dada huyu alijisifia kabisa kwamba yeye ni African qeen na anajiamini! Hivi ukijiamini lazima upige picha uchi eh? nauliza tu..

6 comments: