P square,Diamond na Ney wa mitego wanavyopagawisha mabinti wakionyesha vifua

Nimegundua kina dada huwa wanapagawa sana wanapoona wasanii wanaowazimia wakivua mashati halafu kama wana body iliyojengeka!

Cheki mabinti walivyopagawa katika tamasha Canada  P square walipokuwa wanatumbuiza baada ya kuvua mashati.
P square walivyokuwa Canada wakitoa burudani..cheki mabinti walivyopagawa!
Sukari ya warembo Diamond mara nyingi anapokuwa jukwaani anapenda kuvua shati kitu kinachowafanya mabinti kudata na kifua chake.
Mwenyewe anajua pa kuwashika
Ney wa Mitego alishawahi kukiri nilipozungumza nae katika kipindi cha Hatua Tatu cha Times fm na kusema anapokuwa jukwaani halafu akavua shati mabinti wanachanganyikiwa..tena wengine wanaomba kushika kifua chake!
Nani mkali
Diamond na Ney wakifanya yao

1 comment: