PICHA: Mastaa wahamasisha kuchangia waathirika wa mafuriko

Wasanii wakubwa nchini Nigeria wapo katika kampeni ya kuhamasisha watu kuchangia watu waliokumbwa na kuathirika na mafuriko.

Hizi ni picha za Mastaa wakubwa ambao wapo katika kampeni hiyo Banky W na 2Face Idibia ambao pia wapo katika orodha iliyotolewa na jarida la Forbes ya mastaa kumi wanaongiza pesa nyingi zaidi  huku 2face kashika namba sita,Banky W amekamata namba kumi.
2face Idibia
Banky W

0 Maoni:

Toa Maoni