![]() |
| Mwanaharabu na watoto wake |
''Mpenzi wangu hana uwezo wa kunihudumia mimi pamoja na watoto,hata hivyo naishukuru serikali kwa kuweza kugharamia fedha za hospitali nitaweza kutoka huru bila kudaiwa chochote'' alisema mtoto huyo.
Kwa mujibu wa nesi aliyekuwa katika zamu Mary Marumbu mama na watoto wake wako salama tayari kurudi nyumbani na kesi ipo polisi.
Kwa mujibu wa ripoti,Kenya ina namba kubwa ya watoto wanaopata mimba kwa Afrika mashariki.

0 Maoni:
Toa Maoni