Kim Kardashian ajishaua na pete ya uchumba kidoleni!

Hakuna mashaka kuwa sasa mwanamitindo na star wa Keeping up with Kardashians mwanadada Kim K anafuraha na maisha aliyonayo sasa baada ya kupata mtoto, Kurudisha figure mahala pake na sasa kuvishwa pete ya uchumba na baba mtoto wake Kanye West.


Akipita kwenye Redcarpet alipohudhuria Dream for future Africa Foundation gala na mchumba wake Kanye West siku ya alhamisi,Kim alionyesha dhahiri umbo lake lenye mvuto kutokana na vazi alilovaa akiwa hajaacha kuinua kidole chake na pete yake ya gharama ya uchumba aliyovishwa kuonekana!



Cheki picha hapa na enjoy kuendelea kutembelea Mamu Africa blog.



0 Maoni:

Toa Maoni