Lady Gaga alionekana katinga vazi jeupe kama joho jepesi sana huku ndani akionekana mtupuu tena miguuni akiwa pekupeku!
Mamu Africa blog inakupa nafasi ya kucheki picha zake alipotua London na kukutana na kamera za mapaparazi!
Ni Mtangazaji, Mwandishi, Blogger na Mama wa mtoto mmoja. Karibu katika kijiwe cha habari motomoto, burudani na udaku.
0 Maoni:
Toa Maoni