Mwanamke huyo amemwagia maji ya moto mdogo wake wa kike Chidinma Chukwu mwenye umri wa miaka 14 na kumsababishia majeraha makubwa kisa kikiwa ni kuuza mapapai machache aliyopewa kutembeza siku hiyo na kurudisha mengine ndipo mwanamke huyo alipopatwa hasira na kutoa adhabu hiyo!
![]() |
| Cheki binti huyu mdogo alivyoharibiwa kisa mapapai! |
Baada ya kuswekwa rumande bidada huyo alijitetea kuwa shetani alimpitia na anaomba wayamalize mambo hayo yasifike mahakamani huku mumewe ambae ni mchungaji akisikitishwa na kitendo cha mkewe na kusema ameenda mbali sana!

0 Maoni:
Toa Maoni