Pope Francis alikuwa kwenye wiki yake ya kuhutubia hadharani ambapo alijitokeza mwanaume aliyekuwa na matatizo ya kuvimba mwili na kuomba baraka za Papa.
Mwanaume huyo anakabiliwa na ugonjwa unaomsababishia maumivu makali na kutokea uvimbe wa mfano wa vipele vikubwa ugonjwa ambao kitaalamu unafahamika kama neurofibromatosis, wakati mwingine ukitajwa ni kama aina Fulani ya kansa ya ngozi,ugonjwa ambao pia umekuwa ukimsababishia kutengwa na jamii kwa kuonekana sio msafi.
Watu wakashangazwa na Pope Francis ambaye alimbusu usoni na kumbariki kwa ishara ya msalaba huku pia akionekana kuzama kwenye maombi ya kumuombea mwanaume huyo.
Fuatilia picha ya tukio hilo.





daah! God bless you papa
ReplyDeleteutapona tu kwa mapenzi yake MOLA....
ReplyDeleteGod bless you
ReplyDelete