Huddah aanika mjengo wake..

Wakati tumesaliwa na siku chache kuumaliza mwaka huu aliyewahi kuwa mshiriki aliyewakilisha nchi jirani ya Kenya katika shindano la Big Brother mwaka huu lililojulikana kama The chase, mwanadada asiyeishiwa vituko
Huddah Monroe ameanika mjengo wake ambao inasemekana anamjengea mama kwenye mtandao wa Instagram huku akijipa sifa kwa mafanikio hayo.

Mamu africa blog inampongeza Huddah kwa hatua hiyo na huu ni mfano wa kuigwa kuwa tukipata pesa tusikumbuke kula bata tu...tukumbuke na maendeleo wajameni.

0 Maoni:

Toa Maoni