Ray C achanganywa na umbo lake!


Mwanamuziki mwenye mvuto kutoka Bongo Rehema Chalamila amefunguka kuwa nachanganywa sana na umbo lake la sasa kutokana na kupokea maoni tofauti kutoka kwa mashabiki sasa hajui afanyaje!

Ray C ambaye sasa amenenepa sana ameomba ushauri huo kupitia mtandao wa kijamii wa Instagramn na hiki ndicho alichoandika;


Pia msanii huyu ameweka bayana kuwa atarudi mzigoni hivi karibuni kwa hiyo kaa tayari kwa ujio wake uliokuwa unasubiriwa kwa hamu kubwa.

0 Maoni:

Toa Maoni