Amber Rose akubali kushikwa makalio na shabiki!


Amber na WizKhalifa
Mwanamitindo na mke wa rapa Wiz Khalifa,Amber Rose ame-share picha yenye utata Instagram inayomuonyesha akiwa amekumbatiana na jamaa mmoja huku mikono ya jamaa huyo imeshika makalio yake!
 

Ili kuondoa utata Amber alitoa maelezo kwa nini alimuachia jamaa huyo anayedai ni shabiki wake amshike katika maeneo hayo!

0 Maoni:

Toa Maoni