Lupita Ny'ongo aweka historia, zama humu kuona picha zaidi..

 
Mcheza sinema maarufu Lupita Nyong’o ambaye ni raia wa Kenya, usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo za kifahari za Oscar  huko Hollywood  California.

Lupita alipata tuzo  hizo kwa kuwa muigizaji msaidizi bora zaidi kwenye  filamu  iitwayo“12 years A Slave”.

Baada ya  kupokea tuzo hilo, Lupita alitoa hotuba yenye hisia kali  na kuwashukuru wote waliomwezesha kushinda tuzo hilo la Oscar..isikie hapo chini.

                        

Hizi ni baadhi ya picha za waliohudhuria tuzo hizo..

Lupita mwenywe aling'aa..
Angelina Jolie
Uzee mwisho Chalinze lol!
Lady Gaga...hapa kidogo nimsahau dada yenu!
Willy Smith na Jada
Pharel sasa..

0 Maoni:

Toa Maoni