Huku wakiendelea kuvuta sigara hiyo yaani baba na mwana huyo anayetia huruma kutokana na umri wake mdogo kimesikika kicheko cha mwanamke kwa nyuma sasa sijaelewa ni mama wa mtoto alikuwa akifurahia kinachofanyika au vipi!
Ikafika kipindi baba akawa anaendelea kuvuta bila kumpasia dogo basi mtoto akaangua kilio akinyooshea pakti ya sigara fresh iliyokuwepo mezani na bila hiyana bazazi huyu akavuta sigara moja na kumuwashia..poor kid!




Mh huyu kishoka amedata si mzima kabisaaaa
ReplyDelete