Hatimaye P Square wavunja ukimya baada ya kusemekana wamegombana!

Kupitia mtandao wa Twitter,mapacha wawili wanaosumbua kwenye anga la muziki P Square wamefunguka kuhusiana na tetesi za wao kugombana kit kilichohatarisha muziki wao.

P square wame-tweet kuwa wako imara kuliko awali,kitu kilichoonyesha hamna mgogoro kati yao na kama ulikuwepo basi ushaisha..ni habari njema hizi kwa mashabiki wao.


0 Maoni:

Toa Maoni