P square wame-tweet kuwa wako imara kuliko awali,kitu kilichoonyesha hamna mgogoro kati yao na kama ulikuwepo basi ushaisha..ni habari njema hizi kwa mashabiki wao.
Hatimaye P Square wavunja ukimya baada ya kusemekana wamegombana!
Kupitia mtandao wa Twitter,mapacha wawili wanaosumbua kwenye anga la muziki P Square wamefunguka kuhusiana na tetesi za wao kugombana kit kilichohatarisha muziki wao.
P square wame-tweet kuwa wako imara kuliko awali,kitu kilichoonyesha hamna mgogoro kati yao na kama ulikuwepo basi ushaisha..ni habari njema hizi kwa mashabiki wao.
P square wame-tweet kuwa wako imara kuliko awali,kitu kilichoonyesha hamna mgogoro kati yao na kama ulikuwepo basi ushaisha..ni habari njema hizi kwa mashabiki wao.



0 Maoni:
Toa Maoni