Inawezekana penzi na rapa huyu limekolea haswa maana imegundulika hakufanya hivyo kwenye ndoa yake na mcheza kikapu Humphries mwaka 2011,kwa madai kuwa jina la Kardashian tayari ni 'Brand' kwa hiyo hawezi kuongeza au kupunguza kitu! Huenda alijua kuwa ndoa haitadumu kama ilivyotokea..
Kim Kardashian abadili jina sasa baada ya ndoa na Kanye West
May 28 Siku chache baada ya kufunga ndoa na baba wa mtoto wake rapa Kanye West, Kim Kardashian amebadili jina katika mitandao ya kijamii ya twitter na Instagram na kuanza kujiita rasmi Kim Kardashian West.
Inawezekana penzi na rapa huyu limekolea haswa maana imegundulika hakufanya hivyo kwenye ndoa yake na mcheza kikapu Humphries mwaka 2011,kwa madai kuwa jina la Kardashian tayari ni 'Brand' kwa hiyo hawezi kuongeza au kupunguza kitu! Huenda alijua kuwa ndoa haitadumu kama ilivyotokea..
Inawezekana penzi na rapa huyu limekolea haswa maana imegundulika hakufanya hivyo kwenye ndoa yake na mcheza kikapu Humphries mwaka 2011,kwa madai kuwa jina la Kardashian tayari ni 'Brand' kwa hiyo hawezi kuongeza au kupunguza kitu! Huenda alijua kuwa ndoa haitadumu kama ilivyotokea..



0 Maoni:
Toa Maoni