Bifu lanukia.. Kanye West aondoa jina la Jay Z kwenye mistari alipokuwa anapafomu


Kanye West amechukizwa na Jay Z kutohudhuria kwenye harusi yake na Kim Kadashian.

Wakati wa show wikiendi iliyopita kwenye X Games, Kanye aliamua kuacha kuimba jina la Jay Z ambalo limo katika mashairi yake ya nyimbo.

Hatua hiyo inaonekana ni kuibua bifu baina ya wawili hao.

Tazama mwenyewe ujionee            

0 Maoni:

Toa Maoni