David Mathenge aka Nameless amefungukia tetesi zilizozagaa kwenye blogs na mitandao ya kijamii kuwa ndoa yake na staa mwenzake Wahu inatikisika kutokana na kugundua si baba halali wa binti yake mdogo alipochukua vipimo kuthibitisha. '
Kupitia ukurasa wake wa facebook Nameless amefungukia ishu hiyo..soma hapa.


0 Maoni:
Toa Maoni