Wolper afungukia udaku wa Serengeti boy


Baada ya gazeti la udaku leo kutoka na habari ya Msanii wa kundi la Makomandoo kudai amefaidi penzi la Jackline Wolper yenye kichwa cha habari "Nimefaidi penzi la Wolper'' , Wolper ameibuka na kudai lazima atamfunga mtu!

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Wolper amejibu mashambulizi hayo kwa kusema hajui amshtaki kijana au gazeti na kudai alitamani kumuuliza msanii huyo kuhusu habari hiyo lakini hata namba yake ya simu hana! Cheki hapa alichiandika ....


0 Maoni:

Toa Maoni